Lambati wa Vence

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lambati wa Vence
Remove ads

Lambati wa Vence (jina la kiraia kwa Kifaransa: Lambert Pelloquin; Bauduen, 1084 - Vence, 26 Mei 1154) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, tangu mwaka 1114. Kabla ya hapo alikuwa mmonaki huko Lerins tangu umri wa miaka 16[1].

Thumb
Sanamu yenye masalia yake katika kanisa kuu la Vence.

Anakumbukwa kwa kusaidia maskini, aliowajengea hospitali ya kwanza mjini, na kwa kupenda kuishi kifukara[2][3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Mei[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads