Lambati wa Vence
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Lambati wa Vence (jina la kiraia kwa Kifaransa: Lambert Pelloquin; Bauduen, 1084 - Vence, 26 Mei 1154) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, tangu mwaka 1114. Kabla ya hapo alikuwa mmonaki huko Lerins tangu umri wa miaka 16[1].

Anakumbukwa kwa kusaidia maskini, aliowajengea hospitali ya kwanza mjini, na kwa kupenda kuishi kifukara[2][3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads