Lanthani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Lanthani
Remove ads

Lanthani ni elementi ya kikemia yenye alama ya La. Namba atomia ni 57. Ni sehemu ya kundi la elementi za Lanthanidi ikihesabiwa kati ya ardhi adimu. Rangi yake ni kidhahabu - nyeupe, lakini hewani inapata haraka ganda la oksidi lenye rangi ya kijivu. Ni laini na inaweza kukatwa kwa kisu.


Ukweli wa haraka Lanthani (Lanthanum) ...

Jina linatokana na Kigiriki λανθάνειν lanthanein (kuficha) kwa sababu wanakemia walioitambua katika karne ya 19 waliona ugumu kuitenganisha na madini mengine.

Kuna matumizi ya lanthani katika teknolojia mbalimbali:

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads