Laurenti Giustiniani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Laurenti Giustiniani
Remove ads

Laurenti Giustiniani, C.R.S.A. (Venezia, leo nchini Italia, 1 Julai 1381 – Venezia, 8 Januari 1456), alikuwa kwanza mkanoni[1], halafu askofu wa Venezia, wa kwanza mwenye cheo cha Patriarki.

Thumb
Sanamu ya Mt. Laurenti Giustiniani huko Venezia.

Maandishi yake, yakiwemo ya hotuba, barua na maisha ya kiroho, yamechapwa upya mara nyingi.

Papa Klementi VII alimtangaza mwenye heri mwaka 1524 na Papa Alexander VIII mtakatifu tarehe 16 Oktoba 1690.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[2][3]

Remove ads

Picha

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads