Leobini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Leobini (kwa Kifaransa: Lutiti; Poitou, karne ya 5 - Chartres, 14 Machi 557[1]) alikuwa askofu wa mji huo, leo nchini Ufaransa, katikati ya karne ya 6[2].

Baada ya kuchunga mifugo na kulima alijifunza kusoma akajiunga na monasteri, lakini wakati mwingine aliishi kama mkaapweke. Pia aliteswa na Wafaranki. Hatimaye akawa shemasi na abati kabla ya kufanywa askofu mwaka 544[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads