Leoluka

From Wikipedia, the free encyclopedia

Leoluka
Remove ads

Leoluka[1] (kutoka jina la ubatizo: Leo, na jina la kitawa: Luka; Corleone, Sicilia, 815 hivi - Vibo Valentia, Calabria, 915 hivi[2]) alikuwa mmonaki, padri na hatimaye abati, lakini pengine mkaapweke pia, wa Ukristo wa Mashariki[3] katika Italia ya leo[4].

Thumb
Mt. Leoluka.

Masalia yake yamepatikana tena mwaka 2006[5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[6] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Machi[7].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads