Leufridi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Leufridi (pia: Leutfridus, Leutfrido, Leufredo, Leutfrid, Leufroi, au Leufroy; alifariki Evreux, 738[1]) alikuwa mmonaki Mbenedikto wa Ufaransa, ndugu wa mtakatifu Agofredus na mwanafunzi wa mtakatifu Sidoni wa Saint-Saëns.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Maisha
Leufridi alisoma katika abasia ya Condat na huko Chartres, akawa kwa muda fulani mwalimu huko Evreux.
Baada ya kuishi kama mkaapweke sehemu mbili tofauti, alianzisha monasteri ya La Croix-Saint-Qu'en mwaka 690 hivi, akawa abati wake wa kwanza na kuliongoza kwa miaka 48 hivi.[1][3]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
