Maglori
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Maglori[1] (Vannes, leo nchini Ufaransa, 535 - 575 hivi) alikuwa mmonaki wa Bretagne aliyelelewa na Iltudi huko Welisi [2]. Kisha kurudi Bretagne akawa huko askofu wa Dol[3], lakini, akitamani upweke, aliacha jimbo akaanzisha monasteri karika kisiwa cha Sark [4][5].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads