Iltudi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Iltudi (pia: Illtyd, Eltut, Hildutus, Illtud Farchog; Ewyas Harold, Welisi, 480 hivi - Llantwit Major, Welisi, 540 hivi) alikuwa mmonaki abati anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri na chuo cha teolojia huko Bangor ambacho kinahesabiwa cha kwanza huko Britania[1] na, kutokana na sifa zake kubwa za utakatifu na elimu [2], kilifikia kuwa na wanafunzi zaidi ya elfu moja, ambao baadhi yao ni watakatifu kama Dewi na Samsoni wa Dol[3][4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads