Iltudi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Iltudi
Remove ads

Iltudi (pia: Illtyd, Eltut, Hildutus, Illtud Farchog; Ewyas Harold, Welisi, 480 hivi - Llantwit Major, Welisi, 540 hivi) alikuwa mmonaki abati anayetajwa kama mwanzilishi wa monasteri na chuo cha teolojia huko Bangor ambacho kinahesabiwa cha kwanza huko Britania[1] na, kutokana na sifa zake kubwa za utakatifu na elimu [2], kilifikia kuwa na wanafunzi zaidi ya elfu moja, ambao baadhi yao ni watakatifu kama Dewi na Samsoni wa Dol[3][4].

Thumb
Mt. Iltudi katika dirisha la kioo cha rangi huko Abergavenny.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 6 Novemba[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads