Majengo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Remove ads
Majengo ni jina la mitaa mbalimbali katika miji ya Afrika ya Mashariki.
Kihistoria ilikuwa jina la makazi ya wafanyakazi Waafrika katika miji ya kikoloni. Ni kwamba Waingereza katika miji iliyoundwa nao katika Afrika ya Mashariki walifuata mpangilio uliokuwa na sehemu tatu[1]:
- Uzunguni kama sehemu ya nyumba za Wazungu na kando yake ofisi za serikali (mkuu wa wilaya, polisi, mahakama) [2]
- Uhindini [3] kama mtaa wa biashara iliyokuwa hasa mikononi mwa wafanyabiashara wenye asili ya Uhindi ya Kiingereza, katika miji mikubwa zaidi pia maduka ya Wazungu na
- Majengo[4] kama sehemu kwa wafanyakazi Waafrika na familia zao.
Katika miji mikubwa zaidi kulikuwa pia na sehemu ya pekee kwa wafanyakazi Wahindi wa matabaka ya chini[5]
Kata zinazoitwa "Majengo" zinapatikana katika wilaya za Tanzania kama ifuatavyo
- Majengo (Dodoma)
- Majengo (Kahama)
- Majengo (Kigoma)
- Majengo (Korogwe)
- Majengo (Lindi Vijijini)
- Majengo (Makambako)
- Majengo (Mbeya mjini)
- Majengo (Meru)
- Majengo (Monduli)
- Majengo (Moshi mjini)
- Majengo (Mpanda)
- Majengo (Mtwara Mjini)
- Majengo (Muheza)
- Majengo (Nkasi)
- Majengo (Singida)
- Majengo (Songea)
- Majengo (Sumbawanga mjini)
- Majengo (Tanga)
- Majengo (Tunduma)
- Majengo (Tunduru)
Pia kuna mitaa kama vile
- Majengo (Arusha)
Huko Kenya kuna
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads