Makumbusho ya Wasukuma

From Wikipedia, the free encyclopedia

Makumbusho ya Wasukuma
Remove ads

Makumbusho ya Wasukuma ni makumbusho ya kijamii yanayopatikana Bujora, kijiji cha mkoa wa Mwanza nchini Tanzania.[1]

Thumb
Kabila la Wasukuma hutumia Pembe ya Ng'ombe katika ngoma zao

Makumbusho hayo yalianzishwa rasmi mwaka 1968[2] kwa ajili ya kuendeleza na kutunza utamaduni na mila za kabila la Wasukuma [3]

Msingi wa hifadhi ya Bujora uliwekwa katika miaka ya 1950 na Padri David Clement wa shirika la Wamisionari wa Afrika (White Fathers) kutoka nchini Kanada. Malengo yake yalikuwa kuunganisha utamaduni wa Kisukuma na Ukristo, maarufu kama utamadunisho (kwa Kiingereza "inculturation").[4][5]

Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads