Margareta Maria Alacoque

From Wikipedia, the free encyclopedia

Margareta Maria Alacoque
Remove ads

Margareta Maria Alacoque (L'Hautecour, Burgundy, Ufaransa, 22 Julai 1647Paray-le-Monial, karibu na Autun, Ufaransa, 17 Oktoba 1690) alikuwa bikira mmonaki wa shirika la Ziara ya Bikira Maria aliyefuata vizuri ajabu njia ya ukamilifu akapata umaarufu kama mwanasala mwenye njozi.

Thumb
Mchoro wa Corrado Giaquinto wa mwaka 1765.

Kufuatana nazo alieneza sana ibada kwa Moyo mtakatifu wa Yesu aliyoizingatia kwanza mwenyewe [1].

Alitangazwa na Papa Pius IX kuwa mwenye heri tarehe 18 Septemba 1864, halafu Papa Benedikto XV alimtangaza mtakatifu tarehe 13 Mei 1920.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Oktoba [2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads