Maria Rivier

From Wikipedia, the free encyclopedia

Maria Rivier
Remove ads

Maria Rivier (19 Desemba 17683 Februari 1838) alikuwa bikira wa Ufaransa aliyeanzisha shirika la “Masista wa Maria Kutolewa Hekaluni" kwa ajili ya kuhudumia watoto, hasa yatima, kupata malezi ya kufaa[1].

Thumb
Mt. Maria Rivier katika dirisha la kioo cha rangi.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 23 Mei 1982, halafu Papa Fransisko alimtangaza mtakatifu tarehe 15 Mei 2022.

Sikukuu yake huadhimishwa kila mwaka kwenye tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads