Maryahb
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Maryahb (jina lake linamaanisha “Mungu anapanga”; alifariki nchini Uajemi, 341) ni kati ya Wakristo elfu kadhaa, waliouawa kwa sababu ya imani yao katika dhuluma ya mfalme Sabor II [1].
Maryahb alikuwa padri korepiskopo na aliuawa katika Oktava ya Pasaka[2].
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads