Maryahb

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Maryahb (jina lake linamaanisha “Mungu anapanga”; alifariki nchini Uajemi, 341) ni kati ya Wakristo elfu kadhaa, waliouawa kwa sababu ya imani yao katika dhuluma ya mfalme Sabor II [1].

Maryahb alikuwa padri korepiskopo na aliuawa katika Oktava ya Pasaka[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi, Waorthodoksi wa Mashariki na Wakatoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 22 Aprili[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads