Mkoko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mikoko ni aina za miti au vichaka vinavyokua katika maji ya chumvi kwenye fuko za bahari za kanda za tropiki[1]. Miti hii inaainishwa katika jenasi tatu: Bruguiera, Ceriops na Rhizophora katika familia Rhizophoraceae. Pengine jina hili hutumika kwa Theobroma cacao lakini afadhali jina mkakao litumike kwa mti huu.
Takriban 1/3 ya pwani kwenye tropiki huwa na mikoko au miti ingine inayoweza kukua katika maji ya chumvi[2]. Msitu wa mikoko huitwa kapa au wangwa.
Mizizi ya mikoko inaweza kushika matope na hivyo husaidia kukinga pwani na kujenga visiwa.
Remove ads
Spishi za Afrika
- Bruguiera gymnorhiza, Mchofi, Mkoko Wimbi, Mshinzi, Msindi, Msinzi au Mui (Black mangrove)
- Ceriops tagal, Mkandaa au Mkoko Mkandala (Indian mangrove)
- Rhizophora mangle, Mkoko Mwekundu Magharibi (Red mangrove)
- Rhizophora mucronata, Mkoko Magondi au Mkoko Mwekundu Mashariki (Asiatic mangrove)
Spishi za mabara mengine
- Bruguiera cylindrica (Bakau putih)
- Bruguiera exaristata (Rib-fruited mangrove)
- Bruguiera hainesii (Haines's mangrove)
- Bruguiera parviflora (Small-flowered mangrove)
- Bruguiera sexangula (Upriver orange mangrove)
- Ceriops australis (Ceriops australis)
- Ceriops decandra (Ceriops decandra)
- Ceriops pseudodecandra (Ceriops pseudodecandra)
- Ceriops zippeliana (Ceriops zippeliana)
- Rhizophora apiculata (Tall-stilt mangrove)
- Rhizophora x harrisonii (Harrison's mangrove)
- Rhizophora racemosa (Rhizophora racemosa)
- Rhizophora samoensis (Samoan mangrove)
- Rhizophora stylosa (Spotted mangrove)
Remove ads
Picha
- Mizizi ya mikoko
- Mkoko kama chanzo cha kisiwa kidogo
- Kapa ya mikoko magondi
- Ua la mkoko magondi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads