Mnjugu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Mnjugu
Remove ads

Mnjugu (Arachis hypogaea) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae unaozaa njugu (pia karanga), mbegu zake ambazo zipo mbili mbili (pengine moja) ndani ya makaka. Tofauti na makaka ya kawaida vikonyo vya yale ya mnjugu huingia ardhini na makaka yanaendelea chini.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mnjugu kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads