Modesta wa Trier

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Modesta wa Trier (alifariki Trier, Ujerumani, 659) alikuwa bikira Mbenedikto aliyeongoza wenzake wengi kama abesi wa kwanza wa monasteri ya Öhren katika mji huo [1].

Alikuwa amejitoa kwa Mungu tangu utotoni, akawa rafiki wa kiroho wa Getrude wa Nivelles.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 4 Novemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads