Molaise

From Wikipedia, the free encyclopedia

Molaise
Remove ads

Molaise (pia: Laisren au Laserian, yaani Mwanga[1]; alifariki 18 Aprili 639[2] hivi) alikuwa mkaapweke nchini Uskoti, halafu padri[3] na askofu abati wa monasteri ya Leighlin nchini Ireland baada ya ndugu yake Gobani wa Seagoe.

Thumb
Sanamu yake.

Katika kisiwa hicho alieneza kwa utaratibu na amani ibada ya Pasaka jinsi ilivyoadhimishwa na Kanisa la Roma[4][5].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waanglikana kama mtakatifu[6].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Aprili[7][8].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads