Nonoso

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nonoso
Remove ads

Nonoso (alifariki mlima Soratte, Lazio, 570 hivi) alikuwa abati wa monasteri juu ya mlima huo wa Italia ya Kati[1].

Thumb
Sanamu katika abasia ya Thierhaupten.

Habari zake ziliandikwa na Papa Gregori I kwa kusimulia miujiza yake mitatu.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 2 Septemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads