Nyahururu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Nyahururu ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Mji uko Mashariki kwa Nakuru kwenye mita 2,303 juu ya UB.

Ni sehemu ya kusini magharibi ya Kaunti ya Laikipia.
Mji huu ulianzishwa kwa jina la Thomson Falls kutokana na maporomoko ya mto Ewaso Narok unaotiririka kutoka milima ya Aberdare.
Mji huu ulimea pamoja na kituo cha reli iliyoishikanisha na mji wa Gilgil. Nyahururu ilikuwa penye viwanda vya National Pencil, ambayo ilifungwa, na Kenya Cooperative Creameries. Chuo kikuu cha Egerton lina shule huko Nyahururu na kuna shule kadhaa za binafsi.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads