Nyahururu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Nyahururu
Remove ads

Nyahururu ni mji wa Kenya katika Bonde la Ufa la Afrika Mashariki. Mji uko Mashariki kwa Nakuru kwenye mita 2,303 juu ya UB.

Thumb
Nyahururu, Kenya
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Ni sehemu ya kusini magharibi ya Kaunti ya Laikipia.

Mji huu ulianzishwa kwa jina la Thomson Falls kutokana na maporomoko ya mto Ewaso Narok unaotiririka kutoka milima ya Aberdare.

Mji huu ulimea pamoja na kituo cha reli iliyoishikanisha na mji wa Gilgil. Nyahururu ilikuwa penye viwanda vya National Pencil, ambayo ilifungwa, na Kenya Cooperative Creameries. Chuo kikuu cha Egerton lina shule huko Nyahururu na kuna shule kadhaa za binafsi.

Mwaka 2009 ulikuwa na wakazi 51,434[1].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads