Orodha ya miji ya Gambia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Orodha ya miji ya Gambia
Remove ads

Orodha ya miji ya Gambia inaorodhesha miji muhimu zaidi nchini Gambia.

Thumb
Ramani ya Gambia

Rundiko kubwa zaidi nchini Gambia ni eneo la Kombo - St. Mary lenye wakazi 422,877 (mnamo mwaka 2013).[1] Hii ni karibu robo ya wananchi wote wa Gambia.

Mji mkuu na mji wa nane kwa ukubwa kati ya miji ya Gambia ni Banjul yenye wakazi 31,356.

Katika jedwali lifuatalo kuna miji yenye zaidi ya wakazi 5,000 kufuatana na matokeo ya sensa ya tarehe 15 Aprili 1993, makadirio ya 1 Januari 2012 pamoja na mkoa wake. Matokeo ya sensa ya 2013 hayajajumuishwa.

Maelezo zaidi Miji ya Gambia, Na. ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads