Orsisius
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Orsisius (kwa Kimisri: Oresiesis-Heru-sa Ast; alifariki 380) alikuwa Mkristo wa Misri, ambaye alimfuata Pakomi jangwani akamsaidia kutunga kanuni ya kwanza kwa ajili ya jumuia za wamonaki[1].
Kiongozi wa monasteri katika kisiwa cha Tabenna, alipofariki Pakomi (348) alichaguliwa kushika nafasi yake, lakini alimuachia Theodori. Baada ya huyo pia kufariki (380 hivi), ndipo tu alipokubali kwa shauri la Atanasi wa Aleksandria.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Remove ads
Maandishi
Vyanzo
- "Orsisius". Catholic Encyclopedia. New York: Robert Appleton Company. 1913.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads