Orso wa Loches

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Orso wa Loches (kwa Kilatini: Ursus; aliishi katika Ufaransa wa leo karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki aliyeanzisha monasteri mbalimbali, na hatimaye ile ya Loches aliyoiongoza kama abati hadi alipofariki [1].

Maarufu zaidi kati ya wafuasi wake alikuwa Leobasi.

Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads