Orso wa Loches
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Orso wa Loches (kwa Kilatini: Ursus; aliishi katika Ufaransa wa leo karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki aliyeanzisha monasteri mbalimbali, na hatimaye ile ya Loches aliyoiongoza kama abati hadi alipofariki [1].
Maarufu zaidi kati ya wafuasi wake alikuwa Leobasi.
Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads