Leobasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Leobasi (pia: Leubatius, Leubais; aliishi karne ya 6 hivi) alikuwa mmonaki, ambaye Orso wa Loches[1], mlezi wake, alimweka kuwa abati aongoze monasteri mpya, alipoendelea kwa utakatifu sana hadi uzee mkubwa karibu na Tours, leo nchini Ufaransa[2][3].

Habari zake ziliandikwa na Gregori wa Tours.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 16 Januari[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads