Orso wa Ravenna

From Wikipedia, the free encyclopedia

Orso wa Ravenna
Remove ads

Orso wa Ravenna (alifariki Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, 13 Aprili 425 hivi) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kwa miaka 26[1].

Thumb
Mt. Orso katika mozaiki.

Alihamishia Ravenna kutoka Classe makao makuu ya jimbo akatabaruku kanisa kuu la Ufufuko sikukuu ya Pasaka, hatimaye alifariki katika sherehe hiyo miaka ya baadaye.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Aprili[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads