Orso wa Ravenna
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Orso wa Ravenna (alifariki Ravenna, Emilia-Romagna, Italia, 13 Aprili 425 hivi) alikuwa askofu wa mji huo wa Italia Kaskazini kwa miaka 26[1].

Alihamishia Ravenna kutoka Classe makao makuu ya jimbo akatabaruku kanisa kuu la Ufufuko sikukuu ya Pasaka, hatimaye alifariki katika sherehe hiyo miaka ya baadaye.
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads