Papa Anacletus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Anacletus (pia: Cletus, Kleti[1][2]) alikuwa Papa kuanzia takriban 80 hadi kifo chake takriban 92[3]. Alitokea Roma, Italia.

Alimfuata Papa Linus akafuatwa na Papa Klementi I.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo ya Kiswahili
Marejeo ya lugha nyingine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads