Papa Anacletus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Anacletus
Remove ads

Papa Anacletus (pia: Cletus, Kleti[1][2]) alikuwa Papa kuanzia takriban 80 hadi kifo chake takriban 92[3]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Anacletus

Alimfuata Papa Linus akafuatwa na Papa Klementi I.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na kutajwa katika Kanuni ya Kirumi.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Aprili[4].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads