Papa Antero

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Antero
Remove ads

Papa Antero alikuwa Papa kuanzia tarehe 21 Novemba 235 hadi kifo chake tarehe 3 Januari 236[1]. Alikuwa na asili ya Ugiriki[2].

Ukweli wa haraka Feast ...

Alimfuata Papa Ponsyano akafuatwa na Papa Fabiano.

Anaheshimiwa kama mtakatifu, ila hakuna hakika kama alifia dini[2] au la [3].

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[4].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads