Papa Benedikto VI

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Benedikto VI
Remove ads

Papa Benedikto VI alikuwa Papa kuanzia Desemba 972 au 19 Januari 973 hadi kifo chake mnamo Julai 974[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2].

Thumb
Papa Benedikto VI.

Jina lake la kuzaliwa halijulikani.

Alimfuata Papa Yohane XIII akafuatwa na Papa Benedikto VII.

Alilindwa hasa na Kaisari Otto I wa Ujerumani. Huyo alipofariki, wenyeji wa mji wa Roma walimfunga Benedikto VI na baada ya miezi michache wakamuua.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads