Papa Damaso II
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Damaso II (alifariki 9 Agosti 1048) alikuwa Papa kuanzia tarehe 17 Julai 1048 hadi kifo chake siku chache baadaye[1]. Alitokea Bavaria, Ujerumani, ila alikuwa askofu wa Brixen, leo nchini Italia.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Poppo.
Alimfuata Papa Benedikto IX akafuatwa na Papa Leo IX.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads