17 Julai

tarehe From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Tarehe 17 Julai ni siku ya 198 ya mwaka (ya 199 katika miaka mirefu). Mpaka uishe zinabaki siku 167.

Jun - Julai - Ago
1 2 3 4 5 6 7
8 9 10 11 12 13 14
15 16 17 18 19 20 21
22 23 24 25 26 27 28
29 30 31
Kalenda ya Gregori

Matukio

Waliozaliwa

Remove ads

Waliofariki

Sikukuu

Wakristo wengi, wakifuata mapokeo ya Roma, huadhimisha kumbukumbu za watakatifu Wafiadini wa Scilla, Yasinto wa Amasra, Yusta na Rufina, Marselina wa Milano, Aleksi wa Roma, Theodosi wa Auxerre, Enodi wa Pavia, Fredegandi, Kenelmi, Papa Leo IV, Koloman wa Stockerau, Zoeradi na Benedikto, Hedwiga wa Poland, Teresa wa Mt. Augustino na wenzake, Petro Liu Ziyu n.k.

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mambo ya kihistoria bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu 17 Julai kama enzi zake au matokeo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads