Papa Eusebius

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Eusebius
Remove ads

Papa Eusebius alikuwa Papa kwa miezi minne tu, kuanzia tarehe 18 Aprili 309 hadi tarehe 17 Agosti 309[1]. Alitokea Ugiriki.

Ukweli wa haraka Feast ...

Alimfuata Papa Marcellus I akafuatwa na Papa Miltiades.

Shahidi shujaa wa imani, ilipotokea fujo miongoni mwa Wakristo wa mji wa Roma kuhusu malipizi ya kufanywa na waliowahi kuasi[2], Eusebius alifungwa na Kaisari Maxentius akafariki mapema uhamishoni[3] katika kisiwa cha Sicilia[4][5].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[6].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads