Papa Eutychian
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Eutychian alikuwa Papa kuanzia tarehe 4 Januari 275 hadi kifo chake tarehe 7 Desemba 283[1]. Alitokea Luni, Toscana, Italia[2].

Alimfuata Papa Felisi I akafuatwa na Papa Kayo.
Hakuna habari nyingi za hakika juu ya maisha na kazi yake [3][4].
Hata hivyo, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Maandishi yake
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads