Papa Eutychian

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Eutychian
Remove ads

Papa Eutychian alikuwa Papa kuanzia tarehe 4 Januari 275 hadi kifo chake tarehe 7 Desemba 283[1]. Alitokea Luni, Toscana, Italia[2].

Thumb
Mt. Eutikiani.

Alimfuata Papa Felisi I akafuatwa na Papa Kayo.

Hakuna habari nyingi za hakika juu ya maisha na kazi yake [3][4].

Hata hivyo, tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 8 Desemba[5].

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads