Papa Evaristus

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Evaristus
Remove ads

Papa Evaristus (pia: Aristus) alikuwa Papa kwa miaka tisa kuanzia takriban 96/99 hadi kifo chake takriban 108[1], wakati wa Kaizari Traian. Alikuwa na asili ya Ugiriki[2].

Thumb
Papa Evaristus.

Alimfuata Papa Klementi I akafuatwa na Papa Alexander I[3].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki, Waorthodoksi[4] na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Oktoba[5].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads