Papa Julius I

papa From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Julius I
Remove ads

Papa Julius I alikuwa Papa kuanzia tarehe 6 Februari 337 hadi kifo chake tarehe 12 Aprili 352[1]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Julius I.

Alimfuata Papa Marko akafuatwa na Papa Liberius.

Anajulikana hasa kwa juhudi zake za kumaliza vurugu zilizotokana na Uario akisimama upande wa Patriarki Atanasi wa Aleksandria katika sinodi maalumu ya mwaka 342[2] na akidai Kanisa la Roma lilitakiwa kushirikishwa kwanza [3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa kwenye tarehe ya kifo chake[4].

Remove ads

Tazama pia

Maandishi yake

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads