Papa Marko

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Marko
Remove ads

Papa Marko alikuwa Papa kwa miezi kadhaa tu, kuanzia tarehe 18 Januari 336 hadi kifo chake tarehe 7 Oktoba 336[1]. Alitokea Roma, Italia.

Thumb
Papa Marko.

Alimfuata Papa Silvester I akafuatwa na Papa Julius I.

Alijenga mabasilika mawili mjini Roma[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[3].

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads