Papa Lando
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Papa Lando alikuwa Papa kuanzia mwezi wa Julai/Novemba 913 hadi kifo chake mnamo Machi 914[1]. Alitokea Sabina, Lazio, Italia[2].

Jina lake la kuzaliwa pia lilikuwa Lando. Alikuwa Papa wa mwisho (kabla ya Papa Fransisko) aliyetumia jina la kipapa lisilowahi kutumiwa na Papa yeyote.
Alimfuata Papa Anastasio III akafuatwa na Papa Yohane X.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads