Papa Paulo IV

Papa wa kanisa la katoliki 1555-1559 From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Paulo IV
Remove ads

Papa Paulo IV (28 Juni 147618 Agosti 1559) alikuwa Papa kuanzia tarehe 23/26 Mei 1555 hadi kifo chake[1]. Alitokea Capriglia, Avellino, Italia[2].

Thumb
Papa Paulo IV.

Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Gian Pietro Carafa. Alimsaidia Gaetano wa Thiene kuanzisha shirika la Wateatini.

Alimfuata Papa Marcello II akafuatwa na Papa Pius IV.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads