Papa Stefano II

From Wikipedia, the free encyclopedia

Papa Stefano II
Remove ads

Papa Stefano II alikuwa Papa kuanzia tarehe 26 Machi 752 hadi kifo chake tarehe 26 Aprili 757[1]. Alitokea Roma, Lazio, Italia[2] katika familia Orsini[3][4].

Thumb
Papa Stefano II akipokea zawadi ya Pipino Mfupi.

Alimfuata Papa Zakaria akafuatwa na Papa Paulo I.

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads