Paula Frassinetti

From Wikipedia, the free encyclopedia

Paula Frassinetti
Remove ads

Paula Frassinetti (Genova, 3 Machi 1809 - Roma, 11 Juni 1882[1]) alikuwa bikira wa Italia kaskazini ambaye, kwa kushinda matatizo mengi, alianzisha shirika la Masista wa Mt. Dorothea kwa ajili ya malezi ya wasichana na mayatima[2], akaliongoza kwa ushujaa na upole[3].

Thumb
Mt. Paula Frassinetti.

Kwa sasa masista wake wako 1,200 katika Ulaya, Afrika, Asia na Amerika ya Kilatini[4].

Papa Pius XI alimtangaza mwenye heri tarehe 8 Juni 1930 na Papa Yohane Paulo II mtakatifu tarehe 11 Machi 1984.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 11 Juni[5][6].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads