Petro Spano
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Petro Spano (kwa Kiitalia: Pietro Spanò; Calabria, Italia Kusini, karne ya 11 – Ciano, Calabria, karne ya 12) alikuwa mkaapweke wa Ukristo wa Mashariki maarufu wa ufukara na moyo wa toba, halafu mwanzilishi wa monasteri ya Ciano[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads