Polynesia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Polynesia
Remove ads

Polinesia (kutoka Kigiriki: πολύς, polius, vingi, + νῆσος, nesos, kisiwa, yaani visiwa vingi) ni eneo la visiwa 1,000 hivi katika Pasifiki ya kati na kusini.

Thumb
Pembetatu ya Polynesia
* 1. Polynesia * 2. Hawaii * 3. New Zealand * 4. Kisiwa cha Pasaka * 5. Samoa * 6. Fiji * 7. Tahiti

Laenea kati ya Hawaii, Nyuzilandi na Kisiwa cha Pasaka. Eneo hili laitwa "Pembetatu ya Polinesia".

Visiwa vya Polinesia

Thumb
Soko mjini Papetee (Polinesia ya Kifaransa)
Thumb
Hori la Christchurch kwenye pwani ya mashariki ya New Zealand
Thumb
Nyumba ya Tahiti (uchoraji wa Kizungu mnamo 1842)
Thumb
Hawaii kwa macho ya ndege
Maelezo zaidi Nchi huru, Maeneo yaliyo chini ya nchi za nje ...
Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads