Porsiani abati

From Wikipedia, the free encyclopedia

Porsiani abati
Remove ads

Porsiani abati (alifariki karibu na Clermont Ferrand, Akwitania, leo nchini Ufaransa, karne ya 6 hivi) alikuwa mtumwa ambaye alikimbilia uhuru wake monasterini mwa Wabenedikto akawa padri na hatimaye abati maarufu kwa miujiza[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Pourçain huko Monestier

Gregori wa Tours aliandika juu yake [2] .

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 24 Novemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads