Proklo na Hilarioni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Proklo na Hilarioni (walifariki Ankara, Galatia, leo nchini Uturuki, mwanzoni mwa karne ya 2) walikuwa ndugu Wakristo ambao waliuawa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Traian[1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 12 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads