Radim

From Wikipedia, the free encyclopedia

Radim
Remove ads

Radim (kutoka Kicheki; kwa Kipolandi Radzim; jina la kitawa: Gaudencius[1], Gaudentius[2]; Libice, leo nchini Ucheki 970 hivi – Gniezno, leo nchini Polandi, 14 Oktoba 1020 hivi) alikuwa askofu mkuu wa kwanza wa Polandi[3], akiwa na makao makuu huko Gniezno tangu mwaka 1000.

Thumb
Sanamu ya Mt. Radim Gaudentius akimfuata Mt. Adalbert, Libice nad Cidlinou, Ucheki.

Kabla ya hapo alikuwa amemfuata kaka yake, Adalberto wa Praha, katika monasteri na katika umisionari kwa Waprusia, akashuhudia alivyochomwa kwa mikuki na Wapagani kadhaa, naye mwenyewe alifungwa gerezani [4].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake ni tarehe 11 Oktoba[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads