Reinilde, Grimoaldi na Gondolfi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Reinilde, Grimoaldi na Gondolfi
Remove ads

Reinilde (pia: Reinhild, Rainelde n.k.; Condacum, leo Kontich, nchini Ubelgiji, 630 hivi; Saintes[1], Hainault, leo nchini Ubelgiji, 700 hivi) alikuwa bikira wa ukoo wa kifalme, mtoto wa Amalberga wa Maubeuge, na dada wa Gudula na Emebati, ambao wote watatu wanaheshimiwa kama watakatifu.

Thumb
Mt. Reinilde akiwa amevaa kihija kadiri ya Maestro wa Elsloo, 1530 hivi.

Baada ya kuhiji Yerusalemu[2] alijitosa katika matendo ya huruma[3] hadi alipokatwa kichwa na Wahunni pamoja na shemasi Grimoaldi na mtumishi wake Gondolfi[4].

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 16 Julai[5]..

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads