Gudula

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gudula
Remove ads

Gudula (kijiji kimojawapo cha Brabant, leo nchini Ubelgiji, 646 hivi - Hamme, leo nchini Ubelgiji, 680/714) alikuwa mwanamke Mkristo wa karne ya 7 aliyejitosa katika maisha ya sala na matendo ya huruma nyumbani mwake huko Moorsel.

Thumb
Mt. Gudula katika mchoro mdogo wa Graduale ya Haarlem ya mwaka 1494 (New York Public Library, MA 092, fol. 251).

Alikuwa mtoto wa Amalberga wa Maubeuge na dada wa Farailde, Reinilde na Emebati, wote watakatifu[1].

Tangu kale amepewa heshima ya mtakatifu bikira.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads