Gudula
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gudula (kijiji kimojawapo cha Brabant, leo nchini Ubelgiji, 646 hivi - Hamme, leo nchini Ubelgiji, 680/714) alikuwa mwanamke Mkristo wa karne ya 7 aliyejitosa katika maisha ya sala na matendo ya huruma nyumbani mwake huko Moorsel.

Alikuwa mtoto wa Amalberga wa Maubeuge na dada wa Farailde, Reinilde na Emebati, wote watakatifu[1].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads