Romano Adame

From Wikipedia, the free encyclopedia

Romano Adame
Remove ads

Romano Adame (jina kamili kwa Kihispania Román Adame Rosales; Teocaltiche, Jalisco, Mexico, 27 Februari 1859 - Nochistlan, Zacatecas, 21 Aprili 1927) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki nchini Meksiko hadi alipoteswa na hatimaye kuuawa bila kesi wakati wa Vita vya Wakristero kwa sababu alimkiri Kristo Mfalme[1].

Thumb
Sanamu yake mbele ya kanisa kuu la Guadalajara, Jalisco.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 22 Novemba 1992 halafu mtakatifu mfiadini tarehe 21 Mei 2000 pamoja na wenzake 24 waliofia dini katika vita hivyo[2]:

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 21 Mei ila ya kwake mwenyewe ni tarehe ya kifodini chake[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads