Romulo wa Bourges

padri ambaye aliiinjilisha eneo la Bourges, katikati ya Ufaransa wa leo, akaanzisha monasteri wa Saint-Satur akawa abati wake From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Romulo wa Bourges (kwa Kifaransa: Romble; aliishi karne ya 5) alikuwa padri ambaye aliiinjilisha eneo la Bourges, katikati ya Ufaransa wa leo, akaanzisha monasteri wa Saint-Satur akawa abati wake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Novemba [2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads