Rosalia Bikira

From Wikipedia, the free encyclopedia

Rosalia Bikira
Remove ads

Rosalia (kwa Kisisili Rusulia; 11301166) alikuwa bikira wa ukoo maarufu wa Palermo, mji mkuu wa kisiwa cha Sicilia, leo mkoa wa Italia.

Thumb
Mt. Rosalia (kulia) mbele ya Bikira Maria: mchoro wa Anthony van Dyck.
Thumb
Sanamu yake huko Monterey, California, Marekani.

Alikwenda kuishi kama mkaapweke katika pango juu ya Mlima Pellegrino hadi kifo chake[1][2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Septemba[4].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads