Wilaya ya Rufiji
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Rufiji ni wilaya mojawapo ya Mkoa wa Pwani yenye postikodi namba 61600.
Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 92,602 [1], walioongezeka kuwa 217,274 wakati wa sensa ya mwaka 2012[2]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 159,906 [3].
Wilaya ya Rufiji imegawanyika sehemu mbili, visiwani na bara: wenyeji wa visiwani ni wa kabila la Wanyagatwa na walio bara ni Wamatumbi, Warufiji na Wandengereko. Wenyeji wa visiwani wanajishughulisha sana na uvuvi, kilimo cha mnazi na kupika chumvi, wakati wale wengine wanajishughulisha sana na mazao ya vyakula kama vile mpunga, mahindi n.k.
Makao makuu ya wilaya yanapatikana Utete.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads