Seneriko
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Seneriko (pia: Cerenico, Cinereo, Serenidus, Cénéré, Sénéré, Sérène, Sérenède; Spoleto, Italia, 600 hivi - Le Mans, Ufaransa, 7 Mei 669 au 680) alikuwa mmonaki shemasi ambaye, baada ya kuhiji kwenye makaburi ya Martino wa Tours na Juliani wa Le Mans, alishika maisha magumu upwekeni; inasemekana akaanzisha monasteri yenye watawa 140[1].

Inasemekana pia kwamva alipokuwa kijana alifanywa kardinali na Papa Martin I[2] .
Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads