Seneriko

From Wikipedia, the free encyclopedia

Seneriko
Remove ads

Seneriko (pia: Cerenico, Cinereo, Serenidus, Cénéré, Sénéré, Sérène, Sérenède; Spoleto, Italia, 600 hivi - Le Mans, Ufaransa, 7 Mei 669 au 680) alikuwa mmonaki shemasi ambaye, baada ya kuhiji kwenye makaburi ya Martino wa Tours na Juliani wa Le Mans, alishika maisha magumu upwekeni; inasemekana akaanzisha monasteri yenye watawa 140[1].

Thumb
Sanamu ya Mt. Seneriko katika mavazi ya kikardinali.

Inasemekana pia kwamva alipokuwa kijana alifanywa kardinali na Papa Martin I[2] .

Anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads